Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.
Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna
Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC
Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞
Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele. Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga. Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake. Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.
Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia
Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake
Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.
Amina pastor nimebarikiwa sana somo linanihusu Mungu anisaidie nibadilike
Amen,be blessed pastor. Your sermons delivers me always.
Pr ujumbe huu ni wa Baraka Sana Mungu atusaidie sote tujitadhimini upya kwa changamoto ya Kiburi
Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.
Ameni pastor mi hufatilia mafunzo yako walai Mungu akubariki
Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna
Amen am soo blessed nice courageous message God bless you pastor
I can not stop listening to you teaching may God blessed
Hubarikiwa sana na mahubiri ya mmbaga,na kujenga Imani yangu
Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC
Nabarikiwa sana na mafundisho yako 'Mungu azidi kukutumia zaid mtumish wa Mungu
Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞
Nabarikiwa sana.Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili tukue kiroho🙏
Nimebarikiwa na neno mungu azidi kukufunulia zaidi amen
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza neno la mungu limeingia moyoni
Mungu akubalik mchungaji akika ata Mimi nausingizisana
Amen Mungu naomba unipe kuelewa nisikutende dhambi
Tunataman Aya mahubiri yafike kwa makansa yetu yatabadilisha maisha yetu ya ukirsto wetu wa kiburi Mungu akutumie vyema mchungaji
Mungu akubaliki sana mchungaji mbaga Kwa mahubili ya kiroho
Amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji kwa neno bora sana,Mungu tusaidie
Asant sana Pr nashukur nimejifunza vitu muhm sana barikiwa
Napenda saaanaaaa mahubiri ya mchungaji Mmbaga kwa sababu ndani ya mahubiri ana story nzuri sana, yaaani naweka gb 15 zinaishia kwake🙏
Unapofundisha nabalikiwasana
Amen ,,,,,,,,mahubiri yananifunza mengi na naendelea kujifunza Kila siku.
Mungu akubariki sana mchungaji,napata kijifunza mengi
Nimeji funza mengi nimebarikiwa pastor neno limeisha in suspicious way no prayers 🙏
Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele.
Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga.
Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake.
Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.
Barikiwa or mafundisho mazuri
Aminaa pr
Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia
Mafundisho mazur sana jaman barikiwa baba tufundishe tusipotee
Uko vizuri sana mchungaji wangu
Asante sana pasta. Nimebarikiwa saana. Natamani kuyafuata mafundisho kama haya
Mchungaji ubarikiwe kwa mafundisho yako napatafaraja na matumaini juu ya maneno haya🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Binafsi nakuelewa, nakupenda, nabarikiwa napata furaha na sijawahi kuchoka kukusikiliza. Bwana akutunze mtumishi wa Mungu
Ameeen🙏
Aminaa ubarikiwe uko na Akili nyingi, napia mwalimu mzuri
Pastor nakupenda san Huwa napata nguvu ninaposikia mahubir Yako barkiwa sana
Amen San mola akupiganie katka Kaz yako
MUNGU, awenawe popote utakapo kwenda, kuptia wew umenibdilsha; natmani siku nikuone barikiwa Sana.!
Amina
Mungu akubaliki sana mchungaji hakika mafundisho Yako ni mazuli mno
MUNGU akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU.. masomo yako hunibariki Sana.
Mafundisho yenye manufaa🙏🙏🙏🙏, ubarikiwe sana pastor
kuptia wew nimebdilka, barikiwa Sana.!
barikiwa mwanangu David.
Asante kwa ujumbe mzuri pastor mbaga
Ameen barikiwa sana Mutumish wa Mungu
God bless,watched u from galf
Asante kwa mahubiri mungu akuinue zaidi
Pastor nimekuelewa sana
Amina nmebalikiwa kwa somo zuri hakika mungu atuondolee kibur
Mungu niondolea kiburi kwa maisha
Asante Pr. kutusema ukweli, tumekuwa wanafiki katika Ukristo
Asante mchungaji kwa fundisho hili
Barikiwa pr Mungu akupe uwez mkubwa
Ubarikiwe Sana unatuludisha kwenye mstari
Mchungaji mungu akubariki neno
Hakika ni Mungu ameongea kupitia kinywa chako yanipasa kutubu Barikiwa sana
Tukiacha iki kiburi basi YESU ATAKUJA IVI KARIBUN., MUNGU AKUBARIKI PASTOR na azidi kukufunulia maono mengine ili tuzidi kupona zaidi na zaidi AMINA
Amen ubarikiwe san Mchungaji
Mungu akubari mtumishi wa Mungu.
Mbona somo limeishia njiani mchungaji
Huyu pastor Ukimsikiliza kwa kufikiria utaelewa mambo vzuri mno
Nabarikiwa na masomo yako
Asante sana pastor ! Nimejifunza sana mungu akubariki
Ukweli mtubu Asante Sana tubarikiwe pamoja
Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake
Amen pastor
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
Andante Baba sema tupone
Mahubiri yako yananifunza nakuniludisha kwenye msitari kila siku mungu akubariki mchungaji
😀😀😀😀😀uliona Nini kwenye hicho chumba!??
Mungu ni mwaminifu kila siku na kila saa
Mungu naomba uniondolee kiburi unapo nibariki na mali
Ubalikiwe sana
Nimeipenda hubir yako
Amina sana muchungaji ubarikiwe
Ameeen ameen pastor
Munguakubariki
Ahsante kwa Mahubiri mazuri
Tumeelewa Asante san
Unibariki san jamani pastor David ubarikiwa sn😂
Pst.david mmbaga
Ubarikiwe Na bwana
mtumshi Wa baba
Amén ubalikiwe sana
Amen mchungaji
Baba anguu naomba kuuulz kuna mtu anaweza kusoma bible nzima toka mwanzo ad ufunuo na kiimalz yotee ba kuelewaa
Asnte kwa mahubir
Pastor hata Mimi siku nikikuona leive nitakukimbilia tu. Nitaomba uniguse tu na mkono wako juu ya kichwa changu. Sitakubali usiniguse pastor.
🙏🙏
Bwana yesu atusaidie sana..
Pr. Nashukuru kwa somo lako na Mungu azidi kupitisha mafundisho yake kwako ila nilikuwa naomba clip nyingine inayomalizia somo hili tafadhali
Ameen Ameen
Amen barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri 🙏
Ubarikiwe Sana postor
Mch ubarikiwe sana
Barikiwa mtumishi wa Baba
Pr hao umetufunza ni kweli kabisa,sisi wadventiste inatupashwa kubadirika.
Amen nashukuru mchungaji
Mtumishi umenijenga kiroho
Mimi nimeanza kulingana venye ninamsikia mahubiri yake sidhani kuwa nitaachana naye nàona mpaka end life
Mungu tusaidie watoto wako
Asante kwa mahubiri haya.Barikiwa
Asante
Kiburi huadhiri Sana
Mungu atusaidie ila imeishi njiani
Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.
Ameen
Ubarikiwe baba