VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 206

  • @nicepallangyo1860
    @nicepallangyo1860 2 года назад +2

    Amina pastor nimebarikiwa sana somo linanihusu Mungu anisaidie nibadilike

  • @kigunapaul7579
    @kigunapaul7579 Год назад +6

    Amen,be blessed pastor. Your sermons delivers me always.

  • @andreajohn3897
    @andreajohn3897 2 года назад +1

    Pr ujumbe huu ni wa Baraka Sana Mungu atusaidie sote tujitadhimini upya kwa changamoto ya Kiburi

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 2 года назад +3

    Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.

  • @wilsonKukali-ij2gf
    @wilsonKukali-ij2gf Год назад +2

    Ameni pastor mi hufatilia mafunzo yako walai Mungu akubariki

  • @germinuspastory8278
    @germinuspastory8278 3 года назад +6

    Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад +5

    Amen am soo blessed nice courageous message God bless you pastor

  • @stephenmuimi6294
    @stephenmuimi6294 8 месяцев назад

    I can not stop listening to you teaching may God blessed

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx 2 года назад +2

    Hubarikiwa sana na mahubiri ya mmbaga,na kujenga Imani yangu

  • @AugustinWOKOVU
    @AugustinWOKOVU 2 года назад +1

    Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 3 года назад +2

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako 'Mungu azidi kukutumia zaid mtumish wa Mungu

  • @kinyasofilms5112
    @kinyasofilms5112 3 года назад +7

    Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞

  • @margrethkaserikali1458
    @margrethkaserikali1458 2 года назад +3

    Nabarikiwa sana.Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili tukue kiroho🙏

  • @amozmwaz1494
    @amozmwaz1494 2 года назад +2

    Nimebarikiwa na neno mungu azidi kukufunulia zaidi amen

  • @priscapili4938
    @priscapili4938 3 года назад +2

    Ubarikiwe mtumishi nimejifunza neno la mungu limeingia moyoni

  • @mwanaidimasatu-ie9ts
    @mwanaidimasatu-ie9ts 2 года назад +2

    Mungu akubalik mchungaji akika ata Mimi nausingizisana

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 3 года назад +4

    Amen Mungu naomba unipe kuelewa nisikutende dhambi

  • @richardenocy8443
    @richardenocy8443 2 года назад +1

    Tunataman Aya mahubiri yafike kwa makansa yetu yatabadilisha maisha yetu ya ukirsto wetu wa kiburi Mungu akutumie vyema mchungaji

  • @barakajohn2647
    @barakajohn2647 2 года назад +1

    Mungu akubaliki sana mchungaji mbaga Kwa mahubili ya kiroho

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 3 года назад +8

    Amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji kwa neno bora sana,Mungu tusaidie

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 3 года назад +1

    Asant sana Pr nashukur nimejifunza vitu muhm sana barikiwa

  • @ruthnzota6427
    @ruthnzota6427 3 года назад +22

    Napenda saaanaaaa mahubiri ya mchungaji Mmbaga kwa sababu ndani ya mahubiri ana story nzuri sana, yaaani naweka gb 15 zinaishia kwake🙏

  • @rastarasim5810
    @rastarasim5810 2 года назад +1

    Amen ,,,,,,,,mahubiri yananifunza mengi na naendelea kujifunza Kila siku.

  • @bongosofas5821
    @bongosofas5821 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana mchungaji,napata kijifunza mengi

  • @ElvinaLuvuno-d7u
    @ElvinaLuvuno-d7u Год назад +1

    Nimeji funza mengi nimebarikiwa pastor neno limeisha in suspicious way no prayers 🙏

  • @jacquelineyona2247
    @jacquelineyona2247 3 года назад +1

    Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele.
    Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga.
    Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake.
    Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.

  • @kombeonaumishenaritv642
    @kombeonaumishenaritv642 2 года назад +2

    Aminaa pr

  • @NaftaliZaphania-ql9wk
    @NaftaliZaphania-ql9wk Год назад +1

    Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia

  • @floraa4928
    @floraa4928 2 года назад +1

    Mafundisho mazur sana jaman barikiwa baba tufundishe tusipotee

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be Год назад +1

    Uko vizuri sana mchungaji wangu

  • @Vincentkalyo
    @Vincentkalyo 3 месяца назад

    Asante sana pasta. Nimebarikiwa saana. Natamani kuyafuata mafundisho kama haya

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 3 года назад +1

    Mchungaji ubarikiwe kwa mafundisho yako napatafaraja na matumaini juu ya maneno haya🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @twinaweloyceissack6076
    @twinaweloyceissack6076 3 года назад +2

    Binafsi nakuelewa, nakupenda, nabarikiwa napata furaha na sijawahi kuchoka kukusikiliza. Bwana akutunze mtumishi wa Mungu

  • @theopisterbulamu9497
    @theopisterbulamu9497 3 года назад +1

    Aminaa ubarikiwe uko na Akili nyingi, napia mwalimu mzuri

  • @AnnaZablon
    @AnnaZablon Год назад

    Pastor nakupenda san Huwa napata nguvu ninaposikia mahubir Yako barkiwa sana

  • @MonicaGervas-fs4nd
    @MonicaGervas-fs4nd 10 месяцев назад

    Amen San mola akupiganie katka Kaz yako

  • @pendophilipo131
    @pendophilipo131 2 года назад +8

    MUNGU, awenawe popote utakapo kwenda, kuptia wew umenibdilsha; natmani siku nikuone barikiwa Sana.!

  • @NeemaWillison-tn2oy
    @NeemaWillison-tn2oy 2 месяца назад

    Mungu akubaliki sana mchungaji hakika mafundisho Yako ni mazuli mno

  • @williumngowi2025
    @williumngowi2025 3 года назад +3

    MUNGU akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU.. masomo yako hunibariki Sana.

  • @halimaamuli1978
    @halimaamuli1978 3 года назад +3

    Mafundisho yenye manufaa🙏🙏🙏🙏, ubarikiwe sana pastor

  • @pendophilipo131
    @pendophilipo131 2 года назад +1

    kuptia wew nimebdilka, barikiwa Sana.!

  • @DamalisMachumu
    @DamalisMachumu Год назад +1

    barikiwa mwanangu David.

  • @richardstephen640
    @richardstephen640 3 года назад +1

    Asante kwa ujumbe mzuri pastor mbaga

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 Год назад +1

    Ameen barikiwa sana Mutumish wa Mungu

  • @kwambokakwamboka8382
    @kwambokakwamboka8382 2 года назад +1

    God bless,watched u from galf

  • @leokadiamwamba7732
    @leokadiamwamba7732 3 года назад +1

    Asante kwa mahubiri mungu akuinue zaidi

  • @SebastianMwita-f9v
    @SebastianMwita-f9v Год назад +1

    Pastor nimekuelewa sana

  • @onesmoelias8509
    @onesmoelias8509 3 года назад +1

    Amina nmebalikiwa kwa somo zuri hakika mungu atuondolee kibur

  • @beatriceomino6266
    @beatriceomino6266 3 года назад +3

    Mungu niondolea kiburi kwa maisha

  • @sporahmwaikambo1345
    @sporahmwaikambo1345 3 года назад +1

    Asante Pr. kutusema ukweli, tumekuwa wanafiki katika Ukristo

  • @asgricie5230
    @asgricie5230 Год назад +1

    Asante mchungaji kwa fundisho hili

  • @rosembwambo635
    @rosembwambo635 3 года назад +1

    Barikiwa pr Mungu akupe uwez mkubwa

  • @veerynganyu7766
    @veerynganyu7766 2 года назад +1

    Ubarikiwe Sana unatuludisha kwenye mstari

  • @AmonFrank-m8n
    @AmonFrank-m8n Год назад +1

    Mchungaji mungu akubariki neno

  • @dominicmapujila8434
    @dominicmapujila8434 3 года назад +1

    Hakika ni Mungu ameongea kupitia kinywa chako yanipasa kutubu Barikiwa sana

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 3 года назад +1

    Tukiacha iki kiburi basi YESU ATAKUJA IVI KARIBUN., MUNGU AKUBARIKI PASTOR na azidi kukufunulia maono mengine ili tuzidi kupona zaidi na zaidi AMINA

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 3 года назад +1

    Amen ubarikiwe san Mchungaji

  • @happinessnjarabi2136
    @happinessnjarabi2136 3 года назад +3

    Mungu akubari mtumishi wa Mungu.

  • @linzah7563
    @linzah7563 Год назад +1

    Mbona somo limeishia njiani mchungaji

  • @williammussa5621
    @williammussa5621 3 года назад +6

    Huyu pastor Ukimsikiliza kwa kufikiria utaelewa mambo vzuri mno

  • @frolapaulfrola5647
    @frolapaulfrola5647 2 года назад +1

    Nabarikiwa na masomo yako

  • @kabuwoorutasi418
    @kabuwoorutasi418 3 года назад

    Asante sana pastor ! Nimejifunza sana mungu akubariki

  • @strongmummy580
    @strongmummy580 3 года назад +1

    Ukweli mtubu Asante Sana tubarikiwe pamoja

  • @francismasha7286
    @francismasha7286 2 года назад +1

    Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake

  • @LovenessNakaona-q1q
    @LovenessNakaona-q1q Год назад +1

    Amen pastor

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 года назад +1

    Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga

  • @BethaMarekera
    @BethaMarekera Год назад +1

    Andante Baba sema tupone

  • @haloonofficial5949
    @haloonofficial5949 3 года назад +1

    Mahubiri yako yananifunza nakuniludisha kwenye msitari kila siku mungu akubariki mchungaji

  • @julianacharles9828
    @julianacharles9828 2 года назад

    😀😀😀😀😀uliona Nini kwenye hicho chumba!??

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 3 года назад +1

    Mungu ni mwaminifu kila siku na kila saa

  • @NancyMagare
    @NancyMagare Месяц назад

    Mungu naomba uniondolee kiburi unapo nibariki na mali

  • @SamweliMushi-c7f
    @SamweliMushi-c7f Год назад +1

    Ubalikiwe sana

  • @DoriceMoffat-hw4mt
    @DoriceMoffat-hw4mt 11 месяцев назад +1

    Nimeipenda hubir yako

  • @vailetyjaphety7542
    @vailetyjaphety7542 3 года назад +1

    Amina sana muchungaji ubarikiwe

  • @esthermasatu2386
    @esthermasatu2386 3 года назад +3

    Ameeen ameen pastor

  • @MSDQIEDS-ru1px
    @MSDQIEDS-ru1px Год назад +1

    Munguakubariki

  • @soleswihale2257
    @soleswihale2257 3 года назад +1

    Ahsante kwa Mahubiri mazuri

  • @azariakajiru2385
    @azariakajiru2385 2 года назад +1

    Tumeelewa Asante san

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 9 месяцев назад

    Unibariki san jamani pastor David ubarikiwa sn😂

  • @DoriceMoffat-hw4mt
    @DoriceMoffat-hw4mt 11 месяцев назад +1

    Pst.david mmbaga

  • @gracewambura3573
    @gracewambura3573 Год назад

    Ubarikiwe Na bwana
    mtumshi Wa baba

  • @alldoniemmanuel6451
    @alldoniemmanuel6451 3 года назад +1

    Amén ubalikiwe sana

  • @OscarWilson-c9d
    @OscarWilson-c9d Год назад +1

    Amen mchungaji

  • @atukuzwepeter9451
    @atukuzwepeter9451 2 года назад

    Baba anguu naomba kuuulz kuna mtu anaweza kusoma bible nzima toka mwanzo ad ufunuo na kiimalz yotee ba kuelewaa

  • @eustina837
    @eustina837 2 года назад +1

    Asnte kwa mahubir

  • @julianacharles9828
    @julianacharles9828 2 года назад

    Pastor hata Mimi siku nikikuona leive nitakukimbilia tu. Nitaomba uniguse tu na mkono wako juu ya kichwa changu. Sitakubali usiniguse pastor.

  • @elizabethshigangalivuze9187
    @elizabethshigangalivuze9187 3 года назад +1

    Bwana yesu atusaidie sana..

  • @jamaliuisso9203
    @jamaliuisso9203 3 года назад

    Pr. Nashukuru kwa somo lako na Mungu azidi kupitisha mafundisho yake kwako ila nilikuwa naomba clip nyingine inayomalizia somo hili tafadhali

  • @lennyfrank
    @lennyfrank Год назад +1

    Ameen Ameen

  • @radiahassan323
    @radiahassan323 3 года назад

    Amen barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri 🙏

  • @karatagodfrey9899
    @karatagodfrey9899 3 года назад +1

    Mch ubarikiwe sana

  • @atupakisyekyando890
    @atupakisyekyando890 3 года назад +1

    Barikiwa mtumishi wa Baba

  • @kananisarafe8582
    @kananisarafe8582 3 года назад

    Pr hao umetufunza ni kweli kabisa,sisi wadventiste inatupashwa kubadirika.

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 3 года назад +1

    Amen nashukuru mchungaji

  • @priscapili4938
    @priscapili4938 3 года назад

    Mtumishi umenijenga kiroho

  • @francismasha7286
    @francismasha7286 2 года назад

    Mimi nimeanza kulingana venye ninamsikia mahubiri yake sidhani kuwa nitaachana naye nàona mpaka end life

  • @anastaziafrancis191
    @anastaziafrancis191 3 года назад +1

    Mungu tusaidie watoto wako

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 3 года назад +4

    Asante kwa mahubiri haya.Barikiwa

  • @japhetdanniel2413
    @japhetdanniel2413 3 года назад +1

    Mungu atusaidie ila imeishi njiani

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 3 года назад +1

    Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.